Posts

Showing posts from May, 2017

Nimekuletea magazeti ya leo 25.05.2017

Image

Simba washikwa mkia naona jinsi watakavyo anguka tena

INAWEZEKANA ni kweli mlinzi wa kati wa Kagera Sugar FC, Mohamed Fakhi alicheza mchezo wa Kagera 2-1 Simba SC akiwa na kadi tatu za njano, lakini Shirikisho la Soka nchini-TFF wamewapa Simba barua inayoonesha mchezaji huyo hakuwa na kadi tatu za njano-ambazo Simba wanadai ilikuwa hivyo. MALALAMIKO YASIYO NA MASHIKO FIFA Simba wamepeleka malalamiko yao FIFA wakiwa na nakala ya barua kutoka TFF ambayo wanadai haikuwatendea haki. Ieleweke Simba wameenda FIFA wakiwa na barua ambayo inaonyesha ‘mchezaji anayelalamikiwa ’ hakuwa na kadi tatu za njano. Kwa hiyo wanachojaribu kufanya viongozi wa Simba hivi sasa ni kuendelea kuwahadaa wanachama wao kwa sababu makosa ni yao wenyewe. Inawezekana makosa yasiwe yale ya kupoteza mchezo wa Kagera sababu bahati nzuri hawajanyang’any wa ushindi wao, bali wanapigania ushindi ambao hawakuupata ndani ya dakika 90. Kama unaona mbali katika hili unaweza kuona malalamiko ya Simba waliyopeleka FIFA hayana ‘mashiko,’ na nachokiona ni muendelezo wa u

Baadhi ya maneno aliyoyasema leo makonda katika mahojiano na star tv

Image
Baadhi ya Maneno Aliyokaririwa akisema Paul Makonda katika mahojiano yake na Star TV Leo... 'Ruge Anapaswa awaombe msamaha Watanzania kwa kuwatapeli kuwa Nilivamia Kituo chake' 'Tukio linaloitwa uvamizi kwangu ni igizo la Uvamizi'  'Clouds nilikuwaga naeda kula ugali na Maharage' 'Gwajima anajiita Askofu lakini sio Askofu kamili' 'Nimeuona uongo wa Ruge hadharani, Nimeouna utapeli wa Ruge Hadharani' 'Ruge ana akili ya kutunga nyimbo za mapenzi na Ng'onjera sio maendeleo ya Dar as salaam'

Kama ilivyo ada nimekusogezea magazeti ya leo 22.05.2017

Image

Mambo kumi usiyoyajua kuhusu idd amin

Image
1.Aliwahi kuwa bingwa wa ndondi wa uzito wa juu nchini Uganda mwaka 1960-1961 2.alijichagua kuwa Raisi wa Uganda kwa mapinduzi ya kijeshi, na waganda wengi walimchukulia kuwa ni shujaa kwa kumuondoa raisi walieona “anasuasua” Milton Obote mwaka 1971. 3.Aliua watu zaidi ya laki tatu (300,000) kwa kipindi cha miaka 8 aliyokuwepo madarakani kabla ya Kung’olewa na Majeshi ya kitanzania mwaka 1979 baada ya kutaka kuteka sehemu ya Tanzania. 4.Aliwatimua raia wote wenye asili ya Kihindi nchini kwake na kutaifisha mali zao zote. 5.alijipa vyeo kibao na kujiita Field Marshall Al Hadj Doctor Idi Amin Dada! 6.Inasemekana alimtumia malkia wa uingereza Elizibeth II barua za kimapenzi akimuomba amuoe ili aweze kujiita mfalme kwani alikuwa ameshajipa vyeo vyote kasoro “King” Yaani mfalme. 7.Ana watoto zaidi ya 40 huku akiwa ameoa wake 6. Mmoja wa wake zake alikutwa ameuawa kinyama baada ya kupata ujauzito na mtu mwingine. 8.Vyombo kadhaa vya Habari vimekuwa vikimuhus

Kama kawaida nimekusogezea magazeti ya leo 20.05.2017

Image