Baadhi ya maneno aliyoyasema leo makonda katika mahojiano na star tv


Baadhi ya Maneno Aliyokaririwa akisema Paul Makonda katika mahojiano yake na Star TV Leo...

'Ruge Anapaswa awaombe msamaha Watanzania kwa kuwatapeli kuwa Nilivamia Kituo chake'

'Tukio linaloitwa uvamizi kwangu ni igizo la Uvamizi' 

'Clouds nilikuwaga naeda kula ugali na Maharage'

'Gwajima anajiita Askofu lakini sio Askofu kamili'

'Nimeuona uongo wa Ruge hadharani, Nimeouna utapeli wa Ruge Hadharani'

'Ruge ana akili ya kutunga nyimbo za mapenzi na Ng'onjera sio maendeleo ya Dar as salaam'

Comments

Popular posts from this blog

UBISHI KATI YA KLABU KONGWE TANZANIA NANI KAMFUNGA MWENZAKE ZAIDI UMETATULIWA HAPA

Simba washikwa mkia naona jinsi watakavyo anguka tena